Bournemouth's Eddie Howe is expected to grace the list of three top managers who may succeed Sam Allardyce...Big Sam quit the job after allegations of improper conduct surfaces...The 38 year old Howe is experienced and he said it will be the "ultimate job"...
Arsene Wenger
Arsene Wenger is also mentioned in that list but Arsenal are making a new contract for the Gunners top manager...
Gareth Southgate
The U-21 boss, Gareth Southgate, is also on track to get the top job...He is the favorite among all the talked about managers.
Arsenal imekubali kumchukua dogo Robert Samuel "Rob" Holding kwa muda mrefu...Holding ni beki makini ambae alikuwa Bolton Wanderers...Dogo Holding mwenye umri wa miaka 20 alifanya vizuri sana Bolton na kuondoka na tuzo ya mchezaji bora wa msimu...Pamoja na hayo ameisaidia timu ya England U-21 kushinda mashindani ya Toulon huko France akiwa na Calum Chambers...Bofya hapa upate habari zaidi.