Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meck Sadiq amefungua mashindano ya vijana ya kikanda yanayoitwa 'Airtel Rising Stars'...Sadiki amewaasa TFF na wadau wa mpira kuchukulia kwa uzito umuhimu wa kuwafundisha vijana michezo toka wadogo...Aliwakumbusha wadau kwamba michezo ni muhimu sana katika maendeleo yao ya elimu na pia katika kutafuta ajira au kujiajiri...Bofya hapa usome zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 28 July 2014
TANZANIA U-17: RC AFUNGUA MASHINDANO YA VIJANA
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meck Sadiq amefungua mashindano ya vijana ya kikanda yanayoitwa 'Airtel Rising Stars'...Sadiki amewaasa TFF na wadau wa mpira kuchukulia kwa uzito umuhimu wa kuwafundisha vijana michezo toka wadogo...Aliwakumbusha wadau kwamba michezo ni muhimu sana katika maendeleo yao ya elimu na pia katika kutafuta ajira au kujiajiri...Bofya hapa usome zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment