Celtic imegaragazwa vibaya na Legia Warsaw kwenye mechi ya round ya 3 ya kufuzu kucheza Champions League...Isingekuwa kipa Fraser Forster mabao yangekuwa mengi sana...Efe Ambrose alipewa kadi nyekundu baada ya rafu mbaya...Celtic walianza kuona lango la Warsaw lakini walijichanganya na wakalamba 2 kabla ya mapumziko...Game ilimalizika kwa mabao 4-1...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 31 July 2014
CHAMPIONS LEAGUE: CELTIC YAGARAGAZWA NA LEGIA
Celtic imegaragazwa vibaya na Legia Warsaw kwenye mechi ya round ya 3 ya kufuzu kucheza Champions League...Isingekuwa kipa Fraser Forster mabao yangekuwa mengi sana...Efe Ambrose alipewa kadi nyekundu baada ya rafu mbaya...Celtic walianza kuona lango la Warsaw lakini walijichanganya na wakalamba 2 kabla ya mapumziko...Game ilimalizika kwa mabao 4-1...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment