ELP: MANCHESTER UNITED YAANZA VIZURI CHINI YA KOCHA MPYA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_WH5mC4YaGsiC_1nsvDk3JqXEznHLJwBDivdand9v6LJx8-GSu1Th7M-dJDW2M5zbV0ETv2CFq_yhJdQKYrRcJouZa5Flx8c-NsQZ9bTeW9a1E5yDAmqfHeKLOmqSeDhdj615bYsfd8Z2/s1600/Ander+Herrera.jpg) |
Ander Herrera |
Manchester United imeanza vizuri chini ya kocha wao mpya Van Gaal baada ya kuigaragaza LA Galaxy 7-0...LA Galaxy walikula kichapo mbele ya watu 86,432 Rose Bowl California...Dakika ya 13 tu Danny Welbeck alifungulia magoli...Hii ni mchi ya kwanza kati ya mechi 4 za ziara ya Man U nchini Marekani...Timu ilikuwa chini ya captain Darren Fletcher...Wengine waliofunga ni Ashley Young mabao 2 na beki Reece James mabao 2...Dogo Ander Herrera alioingia Man U juzi tu alikuwa kwenye 1st 11...Bofya hapa usome zaidi...
No comments:
Post a Comment