BOXING: PAC-MAN KUZICHAPA NA CHRIS ALGIERI
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhdu73ekqSw7IyYnxfyepFC2NQCzZoOZg19eft7VyXyTCa4bCxzVnA7aGscxlk4CW4w1Qz2z4Iji0C5VNsrd9fNYR980yLty7C6x_EBdzv2krPdXoFYzKPYHwMsP1N5MwSwshBxd52DxcQ/s1600/Pac-man.jpg) |
Pac-Man |
Manny 'Pac-Man' Pacquiao atarudi tena ulingoni kuzichapa na Chris Algieri (20-0, 8 KO's)November 22 huko Macao China...Chris Algieri hafahamiki sana lakini ni boxer mzuri sana na pia ni bingwa WBO junior welterweight kwahiyo Pac-Man atakuwa na mtihani mkubwa...
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi26jYlktcYk4KFb5sYkQXsjh_2l6NWMznoYBQzNJeHgCG7n7Tg8aE4lNQdkoTSQlMnSt6DMgQsz8yH2g3muFSGLkyC5ABrYXQhHm1fMCJKV92ZQA5DREjAiA4BOR1ffKPO5ayrgD4CXm27/s1600/Chris-Algieri.jpeg) |
Chris Algieri |
Mkanda utaokuwa unatafutwa na Chris Algieri ni wa WBO welterweight ambao umeshikiliwa na Pac-Man...Algieri alipanda ngazi baada ya kuntwanga Provodnikov hivi karibuni...Hii ni mara ya 2 Pac-Man anazichapa huko Macau...Mwaka jana alizichapa na Brandon Rios hatika huo mji unaojulikana sana duniani kwa kamali...Usikose kuangalia...
No comments:
Post a Comment