Monday 21 July 2014

AFCON 2015: TAIFA STARS YATOKA SARE NA MAMBAS

Mchezaji wa Stars akimtoka mtu...(Picha kutoka Shaffidauda.com)

Taifa Stars jana jioni ilishindwa kushikilia ushindi baada ya mchezo kumalizika 2-2...Khamis Mcha ambaye alikuwa substitute ndio aliyekuwa kinara wa magoli...Nooij kocha wa Taifa Stars alisaidia kutoa siri ya Mambas jinsi gani ya kuwakabili na ikasaidia...Mambas hawajawahi kupoteza mechi dhidi ya Stars...Tusubiri marudiano huko kwao sasa...Sehemu nyingine Uganda imeshinda mechi yake dhidi ya Mauritania 2-0 huko Kampala Uganda...Bao la kwanza ililikuja kipindi cha 2 dakika ya 49 baada ya Brian Majwega kunyuka mkwaju safi...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment