Carlos Dunga amechaguliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil...Hii ni mara ya 2 Dunga anaifundisha timu ya Brazil mara ya kwanza ilikuwa 2006 mpaka 2011...Dunga pia aliwahi kuichezea timu ya ushindi ya Brazil mwaka 1994 wakati akiwa captain...Dunga anachukua nafasi ya Luiz Filipe Scolari ambae aliamua kustaafu baada ya kukosa kombe la dunia...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 22 July 2014
BRAZIL: DUNGA KOCHA TENA
Carlos Dunga amechaguliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil...Hii ni mara ya 2 Dunga anaifundisha timu ya Brazil mara ya kwanza ilikuwa 2006 mpaka 2011...Dunga pia aliwahi kuichezea timu ya ushindi ya Brazil mwaka 1994 wakati akiwa captain...Dunga anachukua nafasi ya Luiz Filipe Scolari ambae aliamua kustaafu baada ya kukosa kombe la dunia...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment