Boss wa Premiership Richard Scudamore amesema baada ya kuona mafanikio ya kutumia hiyo spray na baada ya kuongea na timu na wadau wa premiership sasa hiyo spray itatumika kwenye msimu ujao...Pia amesema premiership iko tayari kubadilika kama mabadiliko yataisaidia mchezo wa soka...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 31 July 2014
EPL: SPRAY YA WORLD CUP KUTUMIKA PREMIERSHIP
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment