Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Mtibwa Sugar. Show all posts
Showing posts with label Mtibwa Sugar. Show all posts
Tuesday, 30 June 2026
Friday, 17 April 2026
Thursday, 16 April 2026
Sunday, 17 December 2023
Friday, 18 August 2023
Tuesday, 1 November 2022
Thursday, 24 February 2022
Wednesday, 23 February 2022
Saturday, 22 January 2022
Sunday, 10 January 2021
Tuesday, 11 February 2020
Saturday, 4 March 2017
VODACOM PREMIER LEAGUE: OBREY CHIRWA AFUTIWA KADI NYEKUNDU
Obrey Chirwa amefutiwa kadi nyekundu na yuko huru kucheza mechi Kati ya Young Africans (Yanga) na Mtibwa Sugar huko Moro...
Tuesday, 3 January 2017
TAIFA STARS: BONIFACE MKWASA AJIUZULU NA NAFASI YAKE IMECHUKULIWA KWA MUDA NA SALUM MAYANGA
Kocha wa Mtibwa Sugar na kocha msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga, amechukua nafasi ya Charles Boniface Mkwasa ambae ameachia ngazi nafasi hiyo...
Tuesday, 13 September 2016
VPL: SIMBA SC YAISHUSHA YANGA NAFASI YA 2
Simba SC inaendelea vizuri na Vodacom Premier League baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 ndani ya Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam...Simba ilipata point 3 muhimu kupitia kwa Ibrahimu Ajib na Laudit Mavugo kipindi cha 2...Yanga imeshushwa nafasi na Simba na bado mapambano yanaendelea na ni marefu...Simba inasaka ubingwa toka mwaka 2012...Kwa sasa Azam na Simba wako sawa sema labda wana lambalamba jina lao limeanza na herufi A tu lakini wote wana points 10...Uzuri wa mechi ya Simba ni mashabiki ambao walijaa kushuhudia bao la Ajib...Sehemu nyingine Mbeya Prisons waliibuka kidedea dhidi ya Toto Africans kwa bao 1 kwa mtungi ndani ya Uwanja wa Sokoine.
Sunday, 19 June 2016
SIMBA SPORTS CLUB: USAJILI WA 4 WAZINDULIWA MSIMBAZI
Simba wamesajili mchezaj, Mohamed Ibrahim, kutoka Mtibwa Suga...Simba wanaimarisha kikosi na Ibrahim ni kifaa cha 4 kuingia Msimbazi...Rais wa Simba SC, Evans Aveva, amesema Ibrahim amesaini mkataba wa miaka 2...Simba walichukua wachezaji 2 kutoka Mwadui FC na 1 kutoka Mtibwa Sugar...Bado wanafukuzia mchezaji Shiza Kichuya kutoka Mtibwa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Thursday, 28 April 2016
VODACOM PREMIER LEAGUE 2016: KOCHA WA MBEYA CITY ATANGAZA KIKOSI KABLA YA MECHI DHIDI YAMTIBWA
Kocha mkuu wa Mbeya City Kinnah Phiri anayetokea Malawi ametangaza kikosi ambacho kitaenda kuikabili Mtibwa Sugar huko Morogoro...Mpira utapigwa ndani ya Manungu Stadium Jumamosi...Phiri amesema hana hofu na nafasi ambayo wako sasa lakini anauhakika wa kupata points kwenye mechi zilizobakia...Bofya hapa upate habari squad ya Mbeya City.
Monday, 18 April 2016
VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA KILELENI TENA
Subscribe to:
Posts (Atom)








