Showing posts with label Mtibwa Sugar. Show all posts
Showing posts with label Mtibwa Sugar. Show all posts

Saturday, 4 March 2017

Tuesday, 3 January 2017

TAIFA STARS: BONIFACE MKWASA AJIUZULU NA NAFASI YAKE IMECHUKULIWA KWA MUDA NA SALUM MAYANGA

 

Kocha wa Mtibwa Sugar na kocha msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga, amechukua nafasi ya Charles Boniface Mkwasa ambae ameachia ngazi nafasi hiyo...

Tuesday, 13 September 2016

VPL: SIMBA SC YAISHUSHA YANGA NAFASI YA 2


Simba SC inaendelea vizuri na Vodacom Premier League baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 ndani ya Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam...Simba ilipata point 3 muhimu kupitia kwa Ibrahimu Ajib na Laudit Mavugo kipindi cha 2...Yanga imeshushwa nafasi na Simba na bado mapambano yanaendelea na ni marefu...Simba inasaka ubingwa toka mwaka 2012...Kwa sasa Azam na Simba wako sawa sema labda wana lambalamba jina lao limeanza na herufi A tu lakini wote wana points 10...Uzuri wa mechi ya Simba ni mashabiki ambao walijaa kushuhudia bao la Ajib...Sehemu nyingine Mbeya Prisons waliibuka kidedea dhidi ya Toto Africans kwa bao 1 kwa mtungi ndani ya Uwanja wa Sokoine. 

Sunday, 19 June 2016

SIMBA SPORTS CLUB: USAJILI WA 4 WAZINDULIWA MSIMBAZI


Simba wamesajili mchezaj, Mohamed Ibrahim, kutoka Mtibwa Suga...Simba wanaimarisha kikosi na Ibrahim ni kifaa cha 4 kuingia Msimbazi...Rais wa Simba SC, Evans Aveva, amesema Ibrahim amesaini mkataba wa miaka 2...Simba walichukua wachezaji 2 kutoka Mwadui FC na 1 kutoka Mtibwa Sugar...Bado wanafukuzia mchezaji Shiza Kichuya kutoka Mtibwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 28 April 2016

VODACOM PREMIER LEAGUE 2016: KOCHA WA MBEYA CITY ATANGAZA KIKOSI KABLA YA MECHI DHIDI YAMTIBWA


Kocha mkuu wa Mbeya City Kinnah Phiri anayetokea Malawi ametangaza kikosi ambacho kitaenda kuikabili Mtibwa Sugar huko Morogoro...Mpira utapigwa ndani ya Manungu Stadium Jumamosi...Phiri amesema hana hofu na nafasi ambayo wako sasa lakini anauhakika wa kupata points kwenye mechi zilizobakia...Bofya hapa upate habari squad ya Mbeya City.

Monday, 18 April 2016

VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA KILELENI TENA


Dar es Salaam Young Africans wana wa Jangwani wamerejea kileleni tena baada y kuwachapa Mtibwa Sugar 1-0...Simon Msuva alipachika bao pekee mapema kipindi cha 2 na kuipaisha Yanga juu ya Simba Sports Club...Yanga sasa wanapoints 59 wakiwa na mechi 24....Bofya hapa upate habari zaidi.