Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Jamal Malinzi. Show all posts
Showing posts with label Jamal Malinzi. Show all posts
Tuesday, 3 January 2017
TAIFA STARS: BONIFACE MKWASA AJIUZULU NA NAFASI YAKE IMECHUKULIWA KWA MUDA NA SALUM MAYANGA
Kocha wa Mtibwa Sugar na kocha msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga, amechukua nafasi ya Charles Boniface Mkwasa ambae ameachia ngazi nafasi hiyo...
Friday, 26 February 2016
FIFA: WAJUMBE KUTOKA TANZANIA WAMEONDOKA KWENDA KUPIGA KURA YA KUCHAGUA KIONGOZI WA FIFA
Wajumbe kutoka Tanzania wakiongozwa na Rais wa TFF Jamal Malinzi wameondoka jana kuelekea Zurich Uswiss kushirika zoezi la kumpata Rais mpya wa FIFA...Team ya Tanzania pia yupo Katibu Mkuu Celestine Mwesingwa na Makamu Rais Wallace Karia...Mwesigwa alisema Tanzania itafuata muongozo wa CAF katika zoezi la kupiga kura na kwa sasa CAF imesema itampigia kura Salman bin Ibrahim al-Khalifa...Pamoja na hayo Mwesigwa hajui Malinzi atampigia nani kwani upigaji kura ni siri ya mpiga kura...
Mshindi atapatikana endapo atakuwa na 2/3 ya kura au kura 138 kama hamna mtu atapata hiyo watapiga kura ya 2 ambapo atakayeshinda kwa kura zozote (Simple Majority) atakuwa Rais wa FIFA...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 29 January 2016
YANGA: MALINZI TELLS YANGA TO SET EARLY ELECTIONS
Friday, 20 June 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)







