Showing posts with label Wallace Karia. Show all posts
Showing posts with label Wallace Karia. Show all posts

Tuesday, 16 December 2025

FIFA COMMITTEE MEETING | DOHA | QATAR


President of Young Africans(Yanga) Sports Club, Chairman of the African Clubs Association (ACA) and Member of the FIFA Club Competitions Committee, Eng. Hersi Said, in a group photo with the President of the World Football Federation (FIFA) Gianni Infantino, President of TFF Wallace Karia, and Deputy Chairman of ACA Jessica Motaung, at the first meeting of the FIFA Committee taking place today in Doha, Qatar.

Friday, 26 February 2016

FIFA: WAJUMBE KUTOKA TANZANIA WAMEONDOKA KWENDA KUPIGA KURA YA KUCHAGUA KIONGOZI WA FIFA



Wajumbe kutoka Tanzania wakiongozwa na Rais wa TFF Jamal Malinzi wameondoka jana kuelekea Zurich Uswiss kushirika zoezi la kumpata Rais mpya wa FIFA...Team ya Tanzania pia yupo Katibu Mkuu Celestine Mwesingwa na Makamu Rais Wallace Karia...Mwesigwa alisema Tanzania itafuata muongozo wa CAF katika zoezi la kupiga kura na kwa sasa CAF imesema itampigia kura Salman bin Ibrahim al-Khalifa...Pamoja na hayo Mwesigwa hajui Malinzi atampigia nani kwani upigaji kura ni siri ya mpiga kura...




Mshindi atapatikana endapo atakuwa na 2/3 ya kura au kura 138 kama hamna mtu atapata hiyo watapiga kura ya 2 ambapo atakayeshinda kwa kura zozote (Simple Majority) atakuwa Rais wa FIFA...Bofya hapa upate habari zaidi.