Friday 26 February 2016

FIFA: WAJUMBE KUTOKA TANZANIA WAMEONDOKA KWENDA KUPIGA KURA YA KUCHAGUA KIONGOZI WA FIFA



Wajumbe kutoka Tanzania wakiongozwa na Rais wa TFF Jamal Malinzi wameondoka jana kuelekea Zurich Uswiss kushirika zoezi la kumpata Rais mpya wa FIFA...Team ya Tanzania pia yupo Katibu Mkuu Celestine Mwesingwa na Makamu Rais Wallace Karia...Mwesigwa alisema Tanzania itafuata muongozo wa CAF katika zoezi la kupiga kura na kwa sasa CAF imesema itampigia kura Salman bin Ibrahim al-Khalifa...Pamoja na hayo Mwesigwa hajui Malinzi atampigia nani kwani upigaji kura ni siri ya mpiga kura...




Mshindi atapatikana endapo atakuwa na 2/3 ya kura au kura 138 kama hamna mtu atapata hiyo watapiga kura ya 2 ambapo atakayeshinda kwa kura zozote (Simple Majority) atakuwa Rais wa FIFA...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment