Neymar Jr amewika tena baada ya kuichapa Japan mabao 4...Dogo alitumia miguu yote na kichwa kuwalaza wajapan...Shots on goal zilikuwa hizo 4 tu na zote zilitingisha nyavu...Goli ka 4 liliuwa goli lake la 40 kati ya mechi 58...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 14 October 2014
MECHI YA KIRAFIKI: BRAZIL YAIBUGIZA JAPAN 4-0 YOTE KUTOKA KWA NEYMAR
Neymar Jr amewika tena baada ya kuichapa Japan mabao 4...Dogo alitumia miguu yote na kichwa kuwalaza wajapan...Shots on goal zilikuwa hizo 4 tu na zote zilitingisha nyavu...Goli ka 4 liliuwa goli lake la 40 kati ya mechi 58...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment