Algeria imefanikiwa kuwa timu ya kwanza kuingia AFCON 2015 baada ya kuichapa Malawi 3-0...Bao la kwanza lilikuja mapema sana baada ba Slimani na Brahimi wa Porto kupiga one-two na Brahimi kuchapa bao pembeni mwa 18...Bao la pili lilitoka kwa Riyad Mahrez anayechezea timu ya premiership Leicester City daika ya 45...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 16 October 2014
AFCON 2015: ALGERIA YA KWANZA KUINGIA AFCON FINALS MWAKANI
Algeria imefanikiwa kuwa timu ya kwanza kuingia AFCON 2015 baada ya kuichapa Malawi 3-0...Bao la kwanza lilikuja mapema sana baada ba Slimani na Brahimi wa Porto kupiga one-two na Brahimi kuchapa bao pembeni mwa 18...Bao la pili lilitoka kwa Riyad Mahrez anayechezea timu ya premiership Leicester City daika ya 45...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment