Coutinho aliipatia bao la 2 Liverpool dakika ya 90 na Liverpool walizawadiwa bao la 3 la bure na Caulker huku kocha wa QPR akiangaalia angani na kujiuliza maswali mengi zana, "yaani hata kapointi tumeshindwa kupata?...QPR bado iko mkiani na inabidi waanza kujipanga maana itakula kwao...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 20 October 2014
EPL: LIVERPOOL YAZAWADIWA MAGOLI NA QPR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment