Cameroon yailaza Algeria 2-0 na kuingia nusu fainali ya kombe la wanawake la Africa...Deborh Enganamouit ndio aliyekuwa kinara wa magoli baada ya kupachika yote 2 kipindi cha 1 na cha 2...Sehemu nyingine Ghana na Banyana Banyana wametoka sare 1-1...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 16 October 2014
AWC 2014: CAMEROON YATINGA NUSU FAINALI
Cameroon yailaza Algeria 2-0 na kuingia nusu fainali ya kombe la wanawake la Africa...Deborh Enganamouit ndio aliyekuwa kinara wa magoli baada ya kupachika yote 2 kipindi cha 1 na cha 2...Sehemu nyingine Ghana na Banyana Banyana wametoka sare 1-1...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment