Lionel Messi atapandishwa kizimbani kutokana na kesi yake ya kukwepa kodi inayofika milioni 4 euro...Jaji anayosikiliza kesi hiyo ametupilia mbali upande wa mashtaka uliotaka kesi itupiliwe mbali kutokana na kwamba issue za pesa za Messi alikuwa anafuatilia baba yake Messi...Messi na baba yake wamepewa siku 5 zakupinga uamuzi huo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 4 October 2014
LA LIGA: MESSI KUPANDA KIZIMBANI
Lionel Messi atapandishwa kizimbani kutokana na kesi yake ya kukwepa kodi inayofika milioni 4 euro...Jaji anayosikiliza kesi hiyo ametupilia mbali upande wa mashtaka uliotaka kesi itupiliwe mbali kutokana na kwamba issue za pesa za Messi alikuwa anafuatilia baba yake Messi...Messi na baba yake wamepewa siku 5 zakupinga uamuzi huo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment