Yanga jana iliigaragaza vibaya sana Tanzania Prisons mabao 5 kwa 0...Yanga ilikuwa inashambulia Prisons sana na kukosa nafasi nyingi tu za kupata magoli...Yanga bado iko nafasi ya pili wakikimbizana na Azam F.C. ambao wameshikilia kileleni kwa muda...Azam nao walishinda game yao na JKT Mgambo mabao 2 kwa 0...Sasa wana ponti 50 na Yanga 46...Kila timu lazima ishinde la sivyo ubingwa unayeyuka...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 27 March 2014
VPL: YANGA YAGARAGAZA PRISONS
Yanga jana iliigaragaza vibaya sana Tanzania Prisons mabao 5 kwa 0...Yanga ilikuwa inashambulia Prisons sana na kukosa nafasi nyingi tu za kupata magoli...Yanga bado iko nafasi ya pili wakikimbizana na Azam F.C. ambao wameshikilia kileleni kwa muda...Azam nao walishinda game yao na JKT Mgambo mabao 2 kwa 0...Sasa wana ponti 50 na Yanga 46...Kila timu lazima ishinde la sivyo ubingwa unayeyuka...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment