Chelsea F.C. jana ilisonga mbele na kuingia robo fainali ya michuano mikali ya Champions League...Chelsea ni timu ya kwanza ya Uingereza kuingia robo fainali mwaka huu...Galatasaray walichapwa 2-0 na Chelsea kaika game ambayo ilionyesha udhaifu wa Galatasaray...Samuel Etoo alipachika bao zuri mapema mnamo dakika ya 4...Baada ya hapo Chelsea walikuwa imara na kupata bao la 2 kutoka kwa Gary Cahill dakika ya 42...Sasa ni mara ya 6 Roberto Mancini boss wa Galatasaray ameshindwa kumfunga Jose katika mechi za Europe...Pata babari zaidi hapa
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 19 March 2014
UEFA CHAMPIONS LEAGUE: CHELSEA YASONGA MBELE
Chelsea F.C. jana ilisonga mbele na kuingia robo fainali ya michuano mikali ya Champions League...Chelsea ni timu ya kwanza ya Uingereza kuingia robo fainali mwaka huu...Galatasaray walichapwa 2-0 na Chelsea kaika game ambayo ilionyesha udhaifu wa Galatasaray...Samuel Etoo alipachika bao zuri mapema mnamo dakika ya 4...Baada ya hapo Chelsea walikuwa imara na kupata bao la 2 kutoka kwa Gary Cahill dakika ya 42...Sasa ni mara ya 6 Roberto Mancini boss wa Galatasaray ameshindwa kumfunga Jose katika mechi za Europe...Pata babari zaidi hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment