Rafael Nadal ameingia fainali ya michuano mikubwa ya tennis ya Australian Open huko Melbourne Australia...Rafa ameonyesha kwamba yeye ni mkali kwa kumchapa Roger Federer set zote mfululizo 7-6 (4), 6-3, 6-3...Sasa atakutana na namba 8 duniani Stan Warwinka...Federer amechapwa na Rafa mara 23 kati ya 33 kati ya mikutano yao...Rafa ndio anatarajiwa kuutwa ubingwa wa Australian Open...Tusubiri kama itawezekana...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 25 January 2014
TENNIS: NADAL AINGIA FAINALI
Rafael Nadal ameingia fainali ya michuano mikubwa ya tennis ya Australian Open huko Melbourne Australia...Rafa ameonyesha kwamba yeye ni mkali kwa kumchapa Roger Federer set zote mfululizo 7-6 (4), 6-3, 6-3...Sasa atakutana na namba 8 duniani Stan Warwinka...Federer amechapwa na Rafa mara 23 kati ya 33 kati ya mikutano yao...Rafa ndio anatarajiwa kuutwa ubingwa wa Australian Open...Tusubiri kama itawezekana...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment