Mark Selby atakutana na Ronnie O'Sullivan kwenye fainali ya michuano ya masters au mabingwa wa mabingwa wa mchezo wa snooker...Mark Selby ambaye ni namba mbili duniani alimchapa Shaun Murphy 6-1nakuingia fainali...Pia Ronnie alimchapa kirahisi Stephen Maguire 6-2...Mechi yao ya fainali itachezwa leo jioni...Bofya upate habari za fainali ya snooker...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 19 January 2014
SNOOKER MASTERS 2014: SELBY KUKUTANA TENA NA O'SULLIVAN
Mark Selby atakutana na Ronnie O'Sullivan kwenye fainali ya michuano ya masters au mabingwa wa mabingwa wa mchezo wa snooker...Mark Selby ambaye ni namba mbili duniani alimchapa Shaun Murphy 6-1nakuingia fainali...Pia Ronnie alimchapa kirahisi Stephen Maguire 6-2...Mechi yao ya fainali itachezwa leo jioni...Bofya upate habari za fainali ya snooker...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment