Bingwa wa dunia Sebastian Vettel amepata wakati mgumu wakati yeye na timu yake ya RedBull wakijaribu gari lao vipya kwenye pre-testing huko Jerez Spain...Vettel aliweza kumaliza mizunguko 11 (11 laps) tu kwa siku mbili...Gari yake inamatatizo hasa kwenye system ya energy-recovery...Ameweza kumaliza kwa mwendo mdogo kuliko wote..Mabadiliko makubwa kwenye sheria mpya ya F1 itasumbua kidogo lakini ndio mambo mapya hayo...Pata habari zaidi hapa...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 29 January 2014
F1: VETTEL APATA WAKATI MGUMU KWENYE PRE-SEASON TESTING
Bingwa wa dunia Sebastian Vettel amepata wakati mgumu wakati yeye na timu yake ya RedBull wakijaribu gari lao vipya kwenye pre-testing huko Jerez Spain...Vettel aliweza kumaliza mizunguko 11 (11 laps) tu kwa siku mbili...Gari yake inamatatizo hasa kwenye system ya energy-recovery...Ameweza kumaliza kwa mwendo mdogo kuliko wote..Mabadiliko makubwa kwenye sheria mpya ya F1 itasumbua kidogo lakini ndio mambo mapya hayo...Pata habari zaidi hapa...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment