Andy Murry (No. 4 Duniani) akicheza tennis kwenye joto kali alichukua dakika 87 tu kumchapa Go Soeda kutoka Japan 6-1 6-1 6-3...Murry sasa ameingia round ya pili ya michuano hiyo mikali huko Melbourne Ausralia...Mechi ijayo sasa atacheza na mfaransa Vincent Millot kwenye round ya pili...Murry ana kazi kwasababu lazima akutane na wakali wote wanne wa tennis na awachape ili aweze kushinda huko Melbourne...Pata habari zaidi hapa...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 14 January 2014
AUSTRALIAN OPEN: ANDY MURRY AMSHINDA GO SOEDA
Andy Murry (No. 4 Duniani) akicheza tennis kwenye joto kali alichukua dakika 87 tu kumchapa Go Soeda kutoka Japan 6-1 6-1 6-3...Murry sasa ameingia round ya pili ya michuano hiyo mikali huko Melbourne Ausralia...Mechi ijayo sasa atacheza na mfaransa Vincent Millot kwenye round ya pili...Murry ana kazi kwasababu lazima akutane na wakali wote wanne wa tennis na awachape ili aweze kushinda huko Melbourne...Pata habari zaidi hapa...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment