Nigeria imeingia nusu fainali ya michuano ya mataifa ya Afrika huko Afrika ya kusini...Zimbabwe pia imeingia nusu fainali...Nigeria ilitoka 3 bila kabla ya half time na Ejike Uzoenyi alisawazisha dakika ya 90 na baada ya hapo Aliyu Ibrahim alipachika bao la ushindi zikiwa zimebakia dakika 9 za nyongeza... Zim nao ilikuwa ngumu sana lakini waliichapa Mali 2-1...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 27 January 2014
CHAN 2014: NIGERIA NA ZIM WAINGIA NUSU FAINALI
Nigeria imeingia nusu fainali ya michuano ya mataifa ya Afrika huko Afrika ya kusini...Zimbabwe pia imeingia nusu fainali...Nigeria ilitoka 3 bila kabla ya half time na Ejike Uzoenyi alisawazisha dakika ya 90 na baada ya hapo Aliyu Ibrahim alipachika bao la ushindi zikiwa zimebakia dakika 9 za nyongeza... Zim nao ilikuwa ngumu sana lakini waliichapa Mali 2-1...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment