Mohamed Salah, miaka 21, kutoka mabingwa wa uswiss Basel ataelekea Chelsea muda si mrefu...Salah anatokea Egypt na nafasi yake uwanjani ni midfielder bado haja pewa uangalizi wa daktari ili apewe go ahead...Chelsea wanamchukua kwa pond za Uingereza milioni 11...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 24 January 2014
EPL: MOHAMED SALAH KWENDA CHELSEA
Mohamed Salah, miaka 21, kutoka mabingwa wa uswiss Basel ataelekea Chelsea muda si mrefu...Salah anatokea Egypt na nafasi yake uwanjani ni midfielder bado haja pewa uangalizi wa daktari ili apewe go ahead...Chelsea wanamchukua kwa pond za Uingereza milioni 11...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment