Arsenal bado yashikilia uskani baada ya kumchapa Fulham mabao mawili kwa mtungi....Mechi iliyomalizika muda si mrefu iliona mabao yakitoka kwa Santi Carzola dakika ya 57 na ya 62...Arsenal sasa imeshinda mechi tano mfululizo na kubakia kileleni kwa sasa...Bofya hapa upate mambo zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 18 January 2014
EPL: ARSENAL YAENDELEA KUSHIKA USKANI
Arsenal bado yashikilia uskani baada ya kumchapa Fulham mabao mawili kwa mtungi....Mechi iliyomalizika muda si mrefu iliona mabao yakitoka kwa Santi Carzola dakika ya 57 na ya 62...Arsenal sasa imeshinda mechi tano mfululizo na kubakia kileleni kwa sasa...Bofya hapa upate mambo zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment