Showing posts with label Rooney. Show all posts
Showing posts with label Rooney. Show all posts

Monday, 11 July 2022

Saturday, 29 January 2022

Thursday, 17 November 2016

MANCHESTER UNITED: BOOZED OUT ROONEY MAY BE OUT ARSENAL'S GAME


Wayne Rooney may likely not play in a showdown with Arsenal this Saturday...Ibrahimovic's suspension puts Jose Mourinho at a dilema as they meet Arsenal at Old Trafford early on Saturday...

Tuesday, 30 August 2016

Wednesday, 3 August 2016

WAYNE ROONEY: MECHI YA KIHISANI YA WAYNE ROONEY NA EVERTON KUONYESHWA LIVE KWA MARA YA KWANZA FACEBOOK


Mechi ya kihisani ambayo mapato yake yatasaidia watu wasiojiweza ya Wayne Rooney akiwa na Manchester United na Everton itarushwa live kwa mara ya kwanza na facebook...Mechi hiyo itachezwa leo na unaweza kuiangalia kupitia website ya Manchester United au kwenye site ya facebook...ni miaka 12 toka Rooney atoke Everton...Ni mara ya kwanza timu mbili za premier league kuonyeshwa live kwenye mtandao wa facebook...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 18 February 2016

EPL: WAYNE ROONEY NJE WIKI 6


Wayne Rooney atakuwa nje kwa takriban wiki 6 kutokana na kuumia goti...Manchester United kazi iko ya kuziba pengo maana wanamuhitaji sana Rooney katika mbio za kumaliza nafasi nzuri EPL...Macho yote yako kwa dogo hatari sana Anthony Martial kuziba pengo akicheza kama striker...Martial anauwezo mkubwa kama striker na attacking midfielder...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 13 January 2016

EPL: NEWCASTLE NA MAN U NGOMA DRAW KATIKA MOJA YA MECHI KALI MSIMU HUU


Katika mechi zakisisimua msimu huu hii mechi ilikuwa moja kati ya hizo...Newcastle walikomaa na Manchester United walikomaa mpaka mwisho...Manchester ndio waliweza kuwa mbele kwa mabao 2 hapo awali kupitia Wayne Rooney kwa njia ya tuta mapema dakika ya 9 na Lingard dakika ya 38...Newcastle walifanikiwa kusawazisha kupitia Georginio Wijnaldum na Mitrovic kupitia tuta...


Bao lingine la Rooney lilionekana kama ndio la mwisho na la ushindi lakini mambo hayakuenda hivyo kwani bao la Dummet lilibadilisha matokea na timu zikagawana points...Bofya hapa upate habari zaidi.

 

Thursday, 27 August 2015

MANCHESTER UNITED: ROONEY AMEANZA KUFUNGA TENA


Wayne Rooney ameisaidia Man U kuingia kwenye makundi ya Champions League baada ya kupata hat-trick dhidi ya Club Brugge...Rooney alikaukiwa magoli kwa muda mrefu amerudi kwenye form sasa...Man U walishinda 0-4...Bofya hapa upate habari zaidi.