Yanga imefanikiwa kuirarua Mgambo JKT 2-0 na kuinyamazisha kwa kuwa inajitapa kwa uwezo wakuzuia timu kubwa...Mabao yote yamekuja kipindi cha 2 kupitia kwa Msuva na Amiss Tabwe...Yanga sasa wako kileleni mbele ya Azam FC kwa points 4...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 22 March 2015
VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YAFANYA KWELI MKWAKWANI
Yanga imefanikiwa kuirarua Mgambo JKT 2-0 na kuinyamazisha kwa kuwa inajitapa kwa uwezo wakuzuia timu kubwa...Mabao yote yamekuja kipindi cha 2 kupitia kwa Msuva na Amiss Tabwe...Yanga sasa wako kileleni mbele ya Azam FC kwa points 4...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment