Striker hatari wa Simba Sports Club, Emmanuel Okwi, ameipa timu yake points 3 muhimu baada ya kumtoka beki makini wa Mtibwa Sugar David Luhende na kuachia shuti kali iliyotingisha nyavu pande ya juu...Bao hili lilipatikana dakika za tia maji tia maji...Simba SC sasa wako point 1 chini ya Azam FC ambao wako nafasi ya 2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 15 March 2015
VODACOM PREMIER LEAGUE: OKWI AFANYA KWELI DAKIKA ZA MWISHO
Striker hatari wa Simba Sports Club, Emmanuel Okwi, ameipa timu yake points 3 muhimu baada ya kumtoka beki makini wa Mtibwa Sugar David Luhende na kuachia shuti kali iliyotingisha nyavu pande ya juu...Bao hili lilipatikana dakika za tia maji tia maji...Simba SC sasa wako point 1 chini ya Azam FC ambao wako nafasi ya 2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment