![]() |
| Onomah... |
Tottenham wamefanya vizuri kwenye mechi ya nusu fainali ya FA Cup ya Vijana baada ya kuilaza Chelsea 2-0...Joshua Onomah ndio aliyepachika bao la kwanza huko White Hart Lane na Kazaiah Sterling alimalizia kwa bao la ushindi...
![]() |
| Sterling... |
Chelsea walicheza vizuri na kushkilia mpira lakini counter attack 2 zikawamaliza kabisa...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:
Post a Comment