Azam FC mabingwa kwenye VPL mwaka huu...! Azam wamechukua ubingwa baada ya kuwachapa Mbeya City mabao 2-1katika uwanja wa Sokoine Mbeya...Azam sasa watatuwakilisha kwenye African Champions League wakati Yanga mshindi wa pili watatuwakilisha kwenye CAF Confederation Cup...Mbeya City wamejitahidi sana mwaka huu na kuibuka wa 3 kwenye ligi...Max sports inawapa hongera sana Azam FC kwa kutwaa ubingwa wa premiership...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 14 April 2014
VPL: AZAM MABINGWA
Azam FC mabingwa kwenye VPL mwaka huu...! Azam wamechukua ubingwa baada ya kuwachapa Mbeya City mabao 2-1katika uwanja wa Sokoine Mbeya...Azam sasa watatuwakilisha kwenye African Champions League wakati Yanga mshindi wa pili watatuwakilisha kwenye CAF Confederation Cup...Mbeya City wamejitahidi sana mwaka huu na kuibuka wa 3 kwenye ligi...Max sports inawapa hongera sana Azam FC kwa kutwaa ubingwa wa premiership...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment