Babu wa Arsenal Arsene Wenger amekubali kwamba nafasi ambayo ameizoea kwa miaka mingi sasa, nafasi ya 4 iko mashakani kuchukuliwa...Amesema Arsenal watapambana kubakia hapo lakini haitakuwa rahisi...Wadau wa mpira na wadau wa Arsenal wanasema Babu Wenger akishindwa kuchukua nafasi ya nne basi itakuwa mwisho wake wa kufundisha club hiyo kubwa sana ya north London...Bofya hapa usome zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 7 April 2014
EPL: ARSENE WENGER AKUBALI NAFASI YAKE YA NNE IKO HATARINI
Babu wa Arsenal Arsene Wenger amekubali kwamba nafasi ambayo ameizoea kwa miaka mingi sasa, nafasi ya 4 iko mashakani kuchukuliwa...Amesema Arsenal watapambana kubakia hapo lakini haitakuwa rahisi...Wadau wa mpira na wadau wa Arsenal wanasema Babu Wenger akishindwa kuchukua nafasi ya nne basi itakuwa mwisho wake wa kufundisha club hiyo kubwa sana ya north London...Bofya hapa usome zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment