Showing posts with label Stan Kroenke. Show all posts
Showing posts with label Stan Kroenke. Show all posts

Thursday, 6 October 2016

ARSENAL FC: SUPPORTERS OUTRAGE LED TO ARSENAL SCRAPPING 3 MILLION POUNDS FEE TO KROENKE

Stan Kroenke
Arsenal has stopped paying annual 3 million pounds to Arsenals majority shareholder Stan Kroenke...Arsenal supporters have been complaining for sometime now that it was unnecessary payment for consultancy done by Kronke's firm, Kroenke Sports Enterprises...

Thursday, 26 May 2016

ARSENAL: STAN KROENKE AONGEZA HISA ZA UMILIKI ARSENAL


Stan Kroenke mmiliki mwenye hisa nyingi toka mwaka 2011 ameongeza hisa zake na kufikia asilimia 67.05...Kroenke pia anamiliki timu ya NFL ya Los Angeles Rams huko Marekano...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 15 March 2016

ARSENAL: BODI YA ARSENAL BADO YAMPIGA TAFU ARSENE WENGER ASILIMIA 100


Aresene Wenger anakingiwa kifua na bodi ya Arsenal katika kipindi hiki kigumu kwa kocha huyo....Bodi imesema bado Arsene yuko poa na bado haijaamua kumtimua mpaka huko mbeleni...Wenger amesema anahofia mashabiki kufarakana juu yake kunaathiri timu yake lakini bado anamatumaini na timu yake...Watu wa karibu sana na Wenger wanasema mkataba wake wa pounds milioni 8 kwa mwaka unaoishia 2017 ndio Wenger anataka kumaliza nao...Pia mmiliki wa Arsenal, Stan Kroenke, yuko nyuma ya Wenger asilimia 100...Kuna tetesi kuwa Ozil na Sanchez wanaweza kusepa kwani bado hawaja kaa mkao wa kusaini mkataba mpya...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 15 January 2016

NFL: ST LOUIS RAMS YAHAMIA LOS ANGELES



Timu ya NFL ya St. Louis Rams inahamia Los Angeles al-maarufu kama LA...Mmiliki wa St. Louis Rams ambae pia ni mmiliki wa Arsenal FC, Stan Kroenke, amesema uamuzi huo ni uamuzi mchungu na mtamu na juhudi za kuamisha hiyo timu ilikuwa ngumu sana...Walikaa wamiliki na kupiga kura na matokeo yalikuwa 30-2...Rams sasa inabidi walipe £311 milioni pesa ya kuhamisha timu ambayo inaaenda NFL...Sio kila mtu amefurahia kuhama kwa timu hasa mashabiki ambao walishuhudia Rams kuchukua kombe la Super Bowl mwaka 1999...Pia Governor wa Missouri Jay Nixon hajafurahishwa na kuhama kwa timu hiyo...Bofya hapa upate habari zaidi.