Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Leicester Football Club. Show all posts
Showing posts with label Leicester Football Club. Show all posts
Wednesday, 14 December 2016
Friday, 25 November 2016
LEICESTER CITY FC: PLAYERS TO GET 100,000 POUNDS BONUS FOR REACHING CHAMPIONS LEAGUE KNOCKOUT STAGE
The fairy tale continues as Leicester City FC surprise their fans by performing very well at the international level as they managed to get to the knockout stage of the champions League...
Sunday, 19 June 2016
ARSENAL: WENGER ASEMA JAMIE VARDY KUBAKIA LEICESTER
Kocha wa Arsenal amesema Jamie Vardy atabakia Leicester kwa mwaka na hato kuja Emirates...Habari hizi zimeingia Max Sports muda huu kutoka China ambako kocha Wenger alipo sasa...Wenger akiongea na TV moja huko alisema Vardy inaonekana amekataa kuhama na atakuwa Leicerster kwa mwaka zaidi...
Arsenal walianza kuonyesha kumtaka lakini Vardy alikuwa na majukumu ya kitaifa ya Euro 2016 na mipango yote ikasimama...Endelea kupitia Max Sports kupaya habari za haraka...
Saturday, 4 June 2016
ARSENAL: ARSENAL WANAMTAKA JAMIE VARDY
Tuesday, 3 May 2016
Friday, 15 April 2016
LEICESTER CITY: DAU LA N'GOLO KANTE £20 MILIONI NA PSG WANAONGOZA MBIO ZA KUMYAKUA DOGO
N'golo Kante mwenye umri wa miaka 25 anasakwa sana PSG pamoja na timu zingine kubwa...Kwenye mkataba wake kuna kipengele kinachosema kama unamtaka Kante weka £20 milioni mezani...Dogo huyu amejitahidi sana na ameonekena kifaa ndani ya Leicester City ambao karibu wananyakua ubingwa premiership...Kante aliingia Leicester City kwa dau la chini kidogo ya £6 milioni akitokea Caen...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 15 December 2015
EPL: LEICESTER CITY JUU YA LIGI BAADA YA KUWACHAPA CHELSEA
Leicester FC wanaonhoza ligi baada ya kuwaywanga Chelsea 2-1...Jamie Vardy alifunga bao la kwanza na kumfikisha mabao 15 kwa ujumla...Bao zuri la 2 alipachika Riyad Mahrez muda mchache baada ya mapumziko...Loic Remy alipata bao la kufuta machizi lakini Leicester game ilikuwa yao...Chelsea sasa wako point 1 tu waingue relegation zone...Mourinho kibarua kiko hatiani sasa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)






