Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label K.R.C. Genk. Show all posts
Showing posts with label K.R.C. Genk. Show all posts
Friday, 17 January 2020
Monday, 29 May 2017
MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA ATUPIA BAO LA 20 ULAYA
Mbwaba Samatta ambae ni forward wa K.R.C. Gemk na nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, au 'Stars' anaendelea vuwashangaza wazungu huko Ulaya kwa ufungaji wake hodari...
Tuesday, 14 March 2017
MBWANA SAMATTA: NAHODHA WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA AENDELEZA LIBENEKE UBELGIJI
Mbwana Samatta ambae ni nahodha wa Taifa Stars anaendelea kufurahisha mashabiki wake kwa uwezo wake wa kufunga mabao...
Friday, 10 March 2017
EUROPA LEAGUE: K.R.C. GENK YAFANYA MAUAJI HUKU MBWANA SAMATTA AKITUPIA BAO 2
Katika mchezo wa Europa League round ya 16 K.R.C. Genk ya Ubelgiji imeichapa KAA Gent mabao 5-2 ndani ya uwanja wa Ghelamco Arena huko Gent...
Saturday, 30 January 2016
K.R.C. GENK: MBWANA SAMATTA AINGIA RASMI GENK
Mbwana Samatta amesajiliwa rasmi na timu ya K.R.C. Genk ambayo iko nafasi ya 6 sasa kwenye Belgian Pro League...Samatta ni mwanasoka bora Afrika na Tanzania tunajivunia kuwa na kifaa kikali sana...Samatta ametokea timu ya TP Mazembe na huko alikuwa mchezaji bora...Amewahi kuichezea Simba hapo nyuma...Kila la heri Mbwana Samatta katika maisha ya soka Ulaya...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)




