Showing posts with label Mbwana Aly Samatta. Show all posts
Showing posts with label Mbwana Aly Samatta. Show all posts

Saturday, 30 January 2016

K.R.C. GENK: MBWANA SAMATTA AINGIA RASMI GENK



Mbwana Samatta amesajiliwa rasmi na timu ya K.R.C. Genk ambayo iko nafasi ya 6 sasa kwenye Belgian Pro League...Samatta ni mwanasoka bora Afrika na Tanzania tunajivunia kuwa na kifaa kikali sana...Samatta ametokea timu ya TP Mazembe na huko alikuwa mchezaji bora...Amewahi kuichezea Simba hapo nyuma...Kila la heri Mbwana Samatta katika maisha ya soka Ulaya...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 26 January 2016

MBWANA SAMATTA: TAJIRI MOSE KATUMBI AKUBALI SAMATTA KWENDA GENK



Hatimae mwanasoka bora Afrika Mbwana Samatta amepata upenyo wa kwenda kucheza soka Ulaya ya Tajiri mkubwa sana Congo na mmiliki wa TP Mazembe Moise Katumbi kukubali offer ya KRC Genk...KRC Genk ni timu ya premiership ya Ubelgiji...Genk ni kati ya timu kubwa Ubelgiji ambayo umecheza UEFA Champions League mara 4 na EUROPA mara 6...


Hapo awali Katumbi aligoma kumwachia Samatta kwasababu pesa ya transfer ilikuwa ndogo lakini sasa amebariki move na sasa Samatta anajiandaa kwenda Ubelgiji muda wowote kuanzia sasa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 8 January 2016

CAF: WASHINDI WA TUZO MBALIMBALI ZA GLO-CAF NA 11 BORA YA AFRIKA


AFRICAN PLAYER OF THE YEAR - Pierre-Emerick AUBAMEYANG (Gabon)
AFRICAN PLAYER OF THE YEAR – BASED IN AFRICA - Mbwana Aly SAMATTA
WOMEN’S PLAYER OF THE YEAR - Gaelle ENGANAMOUIT (Cameroon)
YOUTH PLAYER OF THE YEAR - Victor OSIMHEN (Nigeria)
MOST PROMISING TALENT OF THE YEAR - Etebo Peter OGHENEKARO (Nigeria)
COACH OF THE YEAR - Herve RENARD (France) – Former Coach of Cote d’Ivoire
REFEREE OF THE YEAR - Bakary Papa GASSAMA (Gambia)
NATIONAL TEAM OF THE YEAR - Cote d’Ivoire
WOMEN’S NATIONAL TEAM OF THE YEAR - Cameroon
CLUB OF THE YEAR - TP Mazembe (DR Congo)

LEADER OF THE YEAR - Abdiqani Said Arab (Somalia)
FAIR PLAY AWARD - Allez Casa Supporters Group (Senegal)
AFRICAN LEGEND
Charles Kumi GYAMFI (Ghana)
Samuel MBAPPE LEPPE (Cameroon)

AFRICA FINEST XI
Goalkeeper:
Robert Muteba KIDIABA (DR Congo)
Defenders: Serge AURIER (Cote d’Ivoire), Aymen ABDENNOUR (Tunisia), Mohamed MEFTAH (Algeria)
Midfielders: Andre AYEW (Ghana), Yaya TOURE (Cote d’Ivoire), Sadio MANE (Senegal), Yacine BRAHIMI (Algeria),    
Forwards: Mbwana Aly SAMATTA (Tanzania), Pierre-Emerrick AUBAMEYANG (Gabon), Baghdad BOUNEDJAH (Algeria)

Substitutes
Djigui DIARRA (Mali)
Azubuike OKECHUKWU (Nigeria)
Kelechi NWAKALI (Nigeria)
Zinedine FERHAT (Algeria)
Adama TRAORE (Mali)
Victor OSIMHEN (Nigeria)
Kermit ERASMUS (South Africa)

CAF: MBWANA ALY SAMATTA MWANASOKA BORA AFRIKA



Striker hatari wa TP Mazembe, Mbwana Aly Samatta, ameshinda tuzo ya mwanasoka bora Afrika kwa wachezaji wa Afrika...Samatta ni mtanzania ambae alikuwa akichezea Simba SC ameibuka mshindi wa tuzo hiyo kwa mara ya kwanza na pia ni mara ya kwanza mchezaji kutoka Afrika Mashariki kushinda tuzo hiyo...


Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon ameibuka mchezaji bora wa Afrika kwa wanaochezea timu za nje...Hongera sana Samatta na Aubameyang kwa kushinda tuzo hizo kubwa Afrika...Bofya hapa upate habari zaidi.