Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label International Champions Cup. Show all posts
Showing posts with label International Champions Cup. Show all posts
Sunday, 7 August 2016
INTERNATIONAL CHAMPIONS CUP: LIVERPOOL YAIGARAGAZA VIBAYA SANA BARCELONA
Liverpool waipeleka shule ya mabao Barcelona kwa kuwachapa 4-0...Ilimchukua dakika 15 tu kwa kifaa kipya cha Liverpool, Sadio Mane, kutikisa wavu...Baada ya hapo Javier Mascherano alijifunga....Wengine waliofanya mambo ni David Origi na Marko Grujic...Barca walikuwa na nyota wao Luis Suarez na Lionel Messi...Ilikuwa mara ya kwanza Suarez anakutafuta na club yake ya zamani toka ahamie Barca mwaka 2014...Bofya hapa upate habari zaidi.
Thursday, 24 March 2016
INTERNATIONAL CHAMPIONS CUP: LEICESTER WATACHEZA NS BARCA NA PSG
Leicester wanaoongoz ligi ya EPL watacheza na Barcelona na Paris St-Germain kwenye michuano ya kabla ya msimu wa kawaida...Timu nyingine zitazoshiriki ni Chelsea, Tottenham, Manchester City na Liverpool...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 5 August 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)


