Showing posts with label De Gea. Show all posts
Showing posts with label De Gea. Show all posts

Sunday, 21 July 2019

Friday, 11 March 2016

EUROPA LEAGUE 2016: MANCHESTER UNITED WAZIDIWA MAARIFA NA LIVERPOOL


Katika mechi ya kwanza kutokea kihistoria kati ya Liverpool na Manchester United wakiwa UEFA ndogo au Europa League imeonekana Liverpool ndio waliokuwa wajanja kuliko mashetani wekundu...Mechi ya jana ilikuwa ya upande mmoja kwani Manchester United walikimbizwa sana na kukoswa maba lukuki na hadi kipenga cha mwisho ubao ulisoma 2-0...Ungwe ya kwanza Liverpool wameshinda tusubiri ungwe ya 2 labda Manchester United watacheza vizuri maana walicheza ovyo sana...


De Gea ndio aliyesaidia sana Man U hasa kipindi cha 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 11 September 2015

MANCHESTER UNITED: DAVID DE GEA ASAINI MKATABA MPYA


David de Gea amewatoa hofu mashabiki wa Man U ambao walijua anahamia Spain...De Gea amesaini mkataba mpya na club hiyo kubwa ya Uingereza ambao utamweka hapo Old Trafford kwa miaka 4...



De Gea mwenye umri wa miaka 24 amechezea Man U mechi 175 toka atoke Atletico Madrid mwaka 2011 kwa dau la pounds milioni 18.9...Bofya hapa upate habari zaidi.