Showing posts with label David De Gea. Show all posts
Showing posts with label David De Gea. Show all posts

Thursday, 22 June 2023

MAN UTD MAKE FIRST CONTACT OVER £50M TRANSFER FOR DAVID DE GEA

 


David de Gea is looking increasingly likely to leave Manchester United, with his contract set to expire at the end of this month and Erik ten Hag is already searching to sign a new goalkeeper

Manchester United have made contact with Inter Milan goalkeeper Andre Onana to register their interest in signing him.

Wednesday, 26 April 2023

DAVID DE GEA | CLAIMAE COLLECTION ATTEMPTS OVER AVERAGE


Of Premier League goalkeepers, David de Gea ranks 20th for CCAA%* - a measure of how likely a goalkeeper is to attempt a "claimable" pass

*(Claimable Collection Attemps over Average)

Sunday, 21 July 2019

Friday, 19 February 2016

EUROPA LEAGUE: MANCHESTER YACHEMSHA DHIDI YA FC MIDTJYLLAND


Manchester United wamechapwa 2-1 katika mechi yao ya "Uefa ndogo" dhidi ya FC Midtjylland...Manchester kwa ujumla hawakucheza vizuri na hiyo ni kutokana na kumpoteza Rooney na de Gea lakini bado wana matumaini katika Premiership wakijipanga vizuri...Kibarua cha van Gaal sasa kiko hatiani maana kutokana na hali hii ya majeruhi ni ngumu kufanya maajabu...Depay ndio aliyeanza kufunga bao kwenye dakika ya 37 lakini kipa aliyechukua nafasi ya de Gea alishindwa kuzuia bao la Pione Sisto dakika ya 44...Bao la ushindi lilitoka kwa Ebere Paul Onuachu kwenye dakika ya 77...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 11 September 2015

MANCHESTER UNITED: DAVID DE GEA ASAINI MKATABA MPYA


David de Gea amewatoa hofu mashabiki wa Man U ambao walijua anahamia Spain...De Gea amesaini mkataba mpya na club hiyo kubwa ya Uingereza ambao utamweka hapo Old Trafford kwa miaka 4...



De Gea mwenye umri wa miaka 24 amechezea Man U mechi 175 toka atoke Atletico Madrid mwaka 2011 kwa dau la pounds milioni 18.9...Bofya hapa upate habari zaidi.