Showing posts with label Bolt. Show all posts
Showing posts with label Bolt. Show all posts

Saturday, 20 August 2016

RIO 2016: USAIN BOLT AWEKA HISTORIA MPYA YA RIADHA NDANI YA RIO OLYMPICS


Usain Bolt kutoka Jamaica amechukua dhahabu ya 9 na kuweka historia kwa kuchukua dhahabu ya 200m mara 3 'triple triple'...Amekuwa mtu wa pekee kushinda mbio 3 katika Olympics 3 tofauti...Mbio ya mwisho ilikuwa 4x100 relay akiwa na wenzake Asafa Powell, Yohan Blake na Nickel Ashmeade...


Team ya Japan walipata Silver na Bronze ilienda kwa Canada...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 24 July 2016

LONDON ANNIVERSARY GAMES: BOLT AWIKA MASHINDANI YA MITA 200


Usain Bolt wa Jamaica amwika katika mashindano ya riadha ya London Anniversary Games ndani ya Uwanjawa Olympics London..Bolt ambae ni bingwa wa Olympics mara 6 alimaliza mita 200 kwa kutumia muda wa 19:89....Bolt aBofya hapa upate habari zaidi

Saturday, 29 August 2015

2015 WORLD ATHLETICS CHAMPIONSHIP: BOLT AIBEBA TENA JAMAICA KWENYE 4×100


Usain Bolt ameisaidia Jamaica kuchukua medani ya dhahabu kwenye michuano mikali ya dunia ya riadha huko China...Bolt alishinda kwa muda wa 37.36 muda mzuri kabisa na alimpita Justin Gatlin wa timu ya Marekani ambayo ilikataliwa nafasi ya 2 baada ya kukosea kupokezana kijiti...Nasafi ya 2 ilichukuliwa na China na nafasi ya 3 ilienda kwa Canada...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 23 August 2015

RIADHA: USAIN BOLT AMTOKA GATLIN NA KUSHINDA MBIO ZA MITA 100


Usain Bolt ameonyesha umwamba wake tena ndani ya Beijing huko China baada ya kushinda mbio maarufu sana za mita 100...Bolt aimshinda Justin Gatlin ambae watu wengi walijua ndie atashinda mbio hizo...Gatlin ameshinda michuano 28 mfululizo na leo katokwa na Bolt...Bolt ametumia muda wa dakika 9 na sekunde 78 na pia Andre de Grasse kutoka Canada na Mmarekani Trayvon Bromell walichukua nafasi ya 3...Bofya hapa upate habari zaidi.