Showing posts with label 100 meters. Show all posts
Showing posts with label 100 meters. Show all posts

Friday, 26 January 2018

F1: SAUBER AND FORCE INDIA WITHDRAW EU COMPLAINT AGAINST FORMULA ONE


A joint statement issued on Thursday said the two teams had been "encouraged" by he leadership if the new F1 owners or management group if you will...

Friday, 6 May 2016

ARSENAL: WENGER ASEMA MIKEL ARTETA MBIONI KUONDOKA


Mikel Arteta yuko mbioni kusepa asema Arsene Wenger...Arteta anakamilisha mambo fulani ndipo aende Manchester City kujiunga na Pep Guardiola katika nafasi ya msaidizi wa kocha...Guardiola na Arteta wanatoka nchi moja...Wenger amesema Arteta ni mchezaji aliyechangia sana club ya Arsenal na sio mchezaji tu...


Arteta amekaa Emirates miaka 5 na sasa imetosha kwake mkataba wake utakapoisha mwisho wa msimu huu...Bofya hapa upate ehabari zaidi.

Sunday, 23 August 2015

RIADHA: USAIN BOLT AMTOKA GATLIN NA KUSHINDA MBIO ZA MITA 100


Usain Bolt ameonyesha umwamba wake tena ndani ya Beijing huko China baada ya kushinda mbio maarufu sana za mita 100...Bolt aimshinda Justin Gatlin ambae watu wengi walijua ndie atashinda mbio hizo...Gatlin ameshinda michuano 28 mfululizo na leo katokwa na Bolt...Bolt ametumia muda wa dakika 9 na sekunde 78 na pia Andre de Grasse kutoka Canada na Mmarekani Trayvon Bromell walichukua nafasi ya 3...Bofya hapa upate habari zaidi.