Monday 12 January 2015

NFL: COLTS YAISHANGAZA BRONCOS


Denver Broncos wamechapwa 24-13 na Indianapolis Colts kitu ambacho hawakutegemea...Denver kabla ya game walikuwa na record ya game 8-0 na wastani wa points 35 kwa mechi lakini Andrew Luck aliwanyamazisha kwa touchdown passes 2 na kumpita Payton Manning na timu yake...Sasa Colts watakutana na wakali New England Patriots (13-4)...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment