Denver Broncos wamechapwa 24-13 na Indianapolis Colts kitu ambacho hawakutegemea...Denver kabla ya game walikuwa na record ya game 8-0 na wastani wa points 35 kwa mechi lakini Andrew Luck aliwanyamazisha kwa touchdown passes 2 na kumpita Payton Manning na timu yake...Sasa Colts watakutana na wakali New England Patriots (13-4)...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 12 January 2015
NFL: COLTS YAISHANGAZA BRONCOS
Denver Broncos wamechapwa 24-13 na Indianapolis Colts kitu ambacho hawakutegemea...Denver kabla ya game walikuwa na record ya game 8-0 na wastani wa points 35 kwa mechi lakini Andrew Luck aliwanyamazisha kwa touchdown passes 2 na kumpita Payton Manning na timu yake...Sasa Colts watakutana na wakali New England Patriots (13-4)...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment