Fernando Torres anaendelea kufanya vizuri na timu yake ya Atletico Madrid na jana amefunga mabao 2 dhidi ya Real Madrid...Bao la 1 mwanzo kabisa kipindi cha 1 na bao lingine mwanzo kabisa kipindi cha 2...Mechi iliisha 2-2 lakini Atletiko walikuwa tayari wana advantage ya mabao 2 mechi ya awali kwahiyo wameita kwa aggragate ya 4-2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 16 January 2015
COPA DEL REY: TORRES AISIMAMISHA REAL MADRID
Fernando Torres anaendelea kufanya vizuri na timu yake ya Atletico Madrid na jana amefunga mabao 2 dhidi ya Real Madrid...Bao la 1 mwanzo kabisa kipindi cha 1 na bao lingine mwanzo kabisa kipindi cha 2...Mechi iliisha 2-2 lakini Atletiko walikuwa tayari wana advantage ya mabao 2 mechi ya awali kwahiyo wameita kwa aggragate ya 4-2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment