Real Madrid wameafikiana na timu ya Norway ya Strormsgodset kunyakua dogo mwenye umri wa miaka 16 Martin Odegaard...Dogo huyu hatari sana na ambae anatumia mguu wa kushoto alianza kuichezea timu yake ya taifa ya Norway akiwa na miaka 15 na timu nyingi Ulaya zilikuwa zinamtaka...Real Madrid wamesema leo ndio watamtoa kwenye vyombo vya habari...Bofya hapa pate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 22 January 2015
LA LIGA: REAL MADRID YAPATA KIFAA HATARI
Real Madrid wameafikiana na timu ya Norway ya Strormsgodset kunyakua dogo mwenye umri wa miaka 16 Martin Odegaard...Dogo huyu hatari sana na ambae anatumia mguu wa kushoto alianza kuichezea timu yake ya taifa ya Norway akiwa na miaka 15 na timu nyingi Ulaya zilikuwa zinamtaka...Real Madrid wamesema leo ndio watamtoa kwenye vyombo vya habari...Bofya hapa pate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment