Showing posts with label Uturuki. Show all posts
Showing posts with label Uturuki. Show all posts

Monday, 14 March 2016

TURKEY: BABA WA MCHEZAJI NYOTA WA GALATASARAY AFARIKI KWENYE BOMU HUKO ANKARA


Mchezaji maarufu huko Uturuki, Umut Balut, amepoteza baba mzazi, Kamel Bulut, kwenye bomu lililolipuka jijini Ankara jana jioni...Watu 37 wamepoteza maisha jana wakati watu wanarudi majumbani mwao na wengine wanaendelea na shughuli zao za kilasiku...


Mambo ya kigaidi yameikumba Uturuki kwa muda mrefu na sasa raia wa kawaida wanapoteza maisha bila sababu...Hali bado sio shwari katika mji mkuu huo wa Uturuki...



Marafiki, ndugu na jamaa walifika nyumbani kwa Umut kumpa pole katika kipindi hiki kigumu sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 21 August 2015

TAIFA STARS: TIMU YA TAIFA KUINGIA UTURUKI JUMAPILI


Taifa Stars itaondoka Jumapilikwenda Uturuki kujiandaa na michuano ya awali ya kufuzu ya AFCON 2017...Timu haitosimama Muscat na itaenda moja kwa moja Istanbul kuweka kambi ya siku 8...Huko Istanbul watacheza na Libya na Kuwait chini ya kocha Charles Boniface Mkwasa...Taifa Stars wanatarajiwa kukutana na Nigeria Septemba 5...Bofya hapa upatebahari zaidi.