Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Uturuki. Show all posts
Showing posts with label Uturuki. Show all posts
Tuesday, 31 January 2017
EMMANUEL ADEBAYOR: ADEBAYOR HAJI TENA YOUNG AFRICANS (YANGA) AMEINGIA ISTANBUL BASAKSEHIR YA UTURUKI
Monday, 14 March 2016
TURKEY: BABA WA MCHEZAJI NYOTA WA GALATASARAY AFARIKI KWENYE BOMU HUKO ANKARA
Mchezaji maarufu huko Uturuki, Umut Balut, amepoteza baba mzazi, Kamel Bulut, kwenye bomu lililolipuka jijini Ankara jana jioni...Watu 37 wamepoteza maisha jana wakati watu wanarudi majumbani mwao na wengine wanaendelea na shughuli zao za kilasiku...
Mambo ya kigaidi yameikumba Uturuki kwa muda mrefu na sasa raia wa kawaida wanapoteza maisha bila sababu...Hali bado sio shwari katika mji mkuu huo wa Uturuki...
Marafiki, ndugu na jamaa walifika nyumbani kwa Umut kumpa pole katika kipindi hiki kigumu sana...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 21 August 2015
TAIFA STARS: TIMU YA TAIFA KUINGIA UTURUKI JUMAPILI
Taifa Stars itaondoka Jumapilikwenda Uturuki kujiandaa na michuano ya awali ya kufuzu ya AFCON 2017...Timu haitosimama Muscat na itaenda moja kwa moja Istanbul kuweka kambi ya siku 8...Huko Istanbul watacheza na Libya na Kuwait chini ya kocha Charles Boniface Mkwasa...Taifa Stars wanatarajiwa kukutana na Nigeria Septemba 5...Bofya hapa upatebahari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)




