Showing posts with label Stand United. Show all posts
Showing posts with label Stand United. Show all posts

Wednesday, 4 May 2016

VPL: YANGA NJIA NYEUPE SASA


Dar es Salaam Young Africans au kwa jina maarufu Yanga wako nafasi nzuri ya kwa twaa ubingwa baada ya kushinda mechi yao dhidi ya Stand United huko uwanja wa Kambarage Shynyanga...Yanga walitupiamo magoli 3 na mabao mawili yalitoka kwa mkali Donald Ngoma na la 3 kutoka kwa Ammis Tambwe...Hali ilivo sasa ni kwamba Yanga wana points 68 na wako points 9 mbele ya Azam FC kwahiyo Yanga wakishinda mechi moja kati ya 3 zilizobaki ubingwa wao...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 18 March 2016

VODACOM PREMIER LEAGUE: BEKI WA KUSHOTO AIPA USHINDI AZAM FC


Huwa ni nadra sana kwa mabeki kufunga lakini beki wa kushoto Shomari Kapombe alitingisha nyavu dakika ya 63...Azam walikuwa dimbani na Stand United katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi Dar es salaam...Kapombe sasa anamabao 7 na hiyo imemfanya awe beki mwenye mabao mengi kuliko wengine wote...Azam sasa wako sawa na Yanga kwenye nafasi ya 2 wakiwa na points 50...Simba wanaongoza ligi wakiwa na points 54...Bofya hapa upate habari zaidi.