Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Donald Ngoma. Show all posts
Showing posts with label Donald Ngoma. Show all posts
Thursday, 23 March 2017
Thursday, 3 November 2016
VODACOM PREMIER LEAGUE: YOUNG AFRICANS YACHAPWA NA MBEYA CITY 1-2
Dar es Salaam Young Africans (Yanga) wamechapwa na wenyeji wao Mbeya City 1-2 katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya...
Wednesday, 4 May 2016
VPL: YANGA NJIA NYEUPE SASA
Dar es Salaam Young Africans au kwa jina maarufu Yanga wako nafasi nzuri ya kwa twaa ubingwa baada ya kushinda mechi yao dhidi ya Stand United huko uwanja wa Kambarage Shynyanga...Yanga walitupiamo magoli 3 na mabao mawili yalitoka kwa mkali Donald Ngoma na la 3 kutoka kwa Ammis Tambwe...Hali ilivo sasa ni kwamba Yanga wana points 68 na wako points 9 mbele ya Azam FC kwahiyo Yanga wakishinda mechi moja kati ya 3 zilizobaki ubingwa wao...Bofya hapa upate habari zaidi.
Sunday, 21 February 2016
VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YAIZAMISHA SIMBA 2-0
Friday, 22 January 2016
VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YAIRARUA MAJIMAJI 5-0
Yanga iko kilelelni baada ya kuirarua Maji Maji 5-0 bila ubishi...Yanga walianza mapema kupachika bao kupitia kwa Thabani Kamusoko dakika ya 4...Mpaka half-time ubao ulisoma 1-0 lakini baada ya kuingia kipindi cha 2 tu Donald Ngoma alipokwa pasi kutoka kwa Kamusoko na hakufanya kosa...Nyota wa mchezo alikuwa Amis Tambwe ambae aliondoka na hat-trick safi na sasa ni mfungaji bora kwenye ligi...Katika mechi nyingine kali Mwadui waliwachapa Kagera Sugar 2-1...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)




