Showing posts with label Novac Djokovic. Show all posts
Showing posts with label Novac Djokovic. Show all posts

Monday, 5 September 2016

US OPEN 2016: KYLE EDMUND STOPPED BY NOVAK DJOKOVIC


Kyle Edmund's run has come to a grand halt by world number 1 Novak Djokovic...Djokovic beat Edmunds 6-2 6-1 6-4 while showing he is back on form...Edmunds who is number 84 defeated two top seeds for the first time in his carrier but this time he was out classed from the start by Djokovic...Djokovic is going to face Jo-Wilfred Tsonga in the last 8.

Monday, 9 May 2016

MADRID OPEN: DJOKOVIC BINGWA MADRID


Novak Djokovic ambae ni namba 1 duniani amechukua kombe la Madrid Open kwa kumchapa Andy Murray 6-2 3-6 6-3...Murray ameshindwa kutetea taji lake na sasa leo atashuka daraja na kuwa namba 3 duniani na kumpisha Roger Federer...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 21 March 2016

INDIAN WELLS FINAL: VICTORIA AZARENKA AMEMTOA NJE SERENA WILLIAMS NA KUSHINDA KOMBE


Namba 1 duniani Serena Williams ametolewa kwenye michuano ya Indian Wells na Victoria Azarenka...Azarenka aliamua kukomaa alivyoona Serena hapigi serve zake vizuri na kushinda mechi 6-4 6-4...Kwa upande wa wanaume Novak Djokovic amemchapa Milos Raonic kutoka Canada 6-2 6-0 na kubeba taji la Masters kwa mara ya 27...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 29 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: DJOKOVIC AMCHAPA FEDERER AINGIA FAINALI



Novak Djokovic amefanikiwa kuingia fainali za Australian Open baada ya kumchapa mkongwe Roger Federer...Djokovic alianza seti mbili za mwanzo kwa nguvu na kuzidiwa seti ya 3 na badae akapambana na kushinda seti ya 4...Djokovic alishinda kwa 6-1 6-2 3-6 6-3 na sasa anasubiri kucheza na Andy Murray au Raonic...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 24 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: DJOKOVIC AFANYA MAKOSA 100 LAKINI ASHINDA


Gilles Simon karibu amtoe namba 1 duniani Novak Djokovic lakini Djokovic aliweza kushinda 6-3 6-7 (1-7) 6-4 4-6 6-3...Katika uwanja wa Rod Laver mechi ilichukua masaa 4 na dakika 32 Djokovic akifanya makosa 100 au kwa lugha nyingine 100 unforced errors ambazo zingemfanya achapwe lakini aliweza kupata mwanga na kushinda...Djokovic sasa kaingia 8 bora na atapambana na Kei Nishikori kutoka Japan...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 20 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: SERENA NA FEDERER WASONGA MBELE


Mambo yamekuwa poa kwa Serena Williams na Roger Federer kwa kufuzu kwendaa mbele round ya 3...Serena alimchapa Hsieh Su-Wei 6-1 6-2 ...Novak Djokovic nae aliweza kuingia round ya 3 baada ya kumchapa Quentin Halys...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 10 January 2016

QATAR OPEN: DJOKOVIC KAMTANDIKA BILA UBISHI NADAL



Djokovic kati ya mechi 10 dhidi ya Nadal ameshinda mechi 9 na kati ya hizo mechi 5 ni straight sets...Bingwa Djokovic aliweza ku'break' mara mbili na kutokana na kasi na uwezo mkubwa wa tennis Nadal hakuwa na nafasi kahata kidogo ya kushinda...Nadal alichapwa 6-1 6-2...Sasa Djokovic anasubiri kuingia Australian Open ambayo itaanza tarehe 18 January...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 25 November 2015

ATP WORLD TOUR FINALS: DJOKOVIC AMPIKU FEDERER NA KUSHINDA ATP TOUR


Novak Djokovic aendelea kutesa kwenye ulimwengu wa Tennis baada ya kumchapa mkongwe Roger Federer na kuchukua kombe la ATP Tour...Djokovic alishinda 6-3 6-4 na alitumia dakika 80 tu hiyo ni pamoja na kuvunja serve mara 3...Djokovic anamaliza mwaka na title 6 zikiwemo Grand Slam 3...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 11 October 2015

CHINA OPEN FINAL: DJOKOVIC AMCHAKAZA NADAL


Novak Djokovic amechukua ubingwa wa ATP China Open kwa mara ya 6...Djokovic alifanya hivyo baada ya kumchapa vibaya sana mkongwe wa clay court Rafa Nadal 6-2 6-2...Kwa upande wa wanawake Gabrine Muguruza alishinda kwa kumchapa Timea Bacsinszky katika fainali ya WTA...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 14 September 2015

US OPEN: DJOKOVIC BINGWA


Novak Djokovic amemfunga Roger Federer kwenye fainali ya US Open na kuchukua kombe mbele wa watu wengi waliokuwa wanatazama mechi...Djokovic ambae ni namba 1 duniani ameshindwa kupata Grand Slam lakini amejitahidi sana na kufungwa mara 1 tu msimu huu...Haikuwa rahisi kucheza na Federer ambae ni mchezaji wa kipekee mwenye ujuzi wa hali ya juu wa tennis...Bofya hapa upate habari zaidi.