Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Gilles Simon. Show all posts
Showing posts with label Gilles Simon. Show all posts
Friday, 4 November 2022
Sunday, 24 January 2016
AUSTRALIAN OPEN 2016: DJOKOVIC AFANYA MAKOSA 100 LAKINI ASHINDA
Gilles Simon karibu amtoe namba 1 duniani Novak Djokovic lakini Djokovic aliweza kushinda 6-3 6-7 (1-7) 6-4 4-6 6-3...Katika uwanja wa Rod Laver mechi ilichukua masaa 4 na dakika 32 Djokovic akifanya makosa 100 au kwa lugha nyingine 100 unforced errors ambazo zingemfanya achapwe lakini aliweza kupata mwanga na kushinda...Djokovic sasa kaingia 8 bora na atapambana na Kei Nishikori kutoka Japan...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
