Showing posts with label Massa. Show all posts
Showing posts with label Massa. Show all posts

Tuesday, 19 September 2023

WOLFF SAYS F1 RISKS DISARRAY IF MASSA SUCCEEDS IN TITLE BID

Reuters

Formula One risks disarray in the unlikely event of Felipe Massa winning a threatened legal claim for the 2008 world championship, according to Mercedes team boss Toto Wolff.

Former Ferrari driver Massa, now 42, has alleged he was denied the title by a "conspiracy" because the sport's leaders knew the 2008 Singapore Grand Prix was manipulated but took no action until a year later.

The Brazilian lost that title by a point to Britain's Lewis Hamilton, then at McLaren and now at Mercedes and a seven-time world champion.

Sunday, 6 September 2015

F1: LEWIS HAMILTON ACHUNGUZWA BAADA YA KUSHINDA ITALIAN GP


Lewis Hamilton ameshinda Italian Grand Prix lakini yuko katika uchunguzi wa presha ya matairi yake...Nafasi ya 2 alichukua Sebastian Vettel na ya 3 Filipe Massa...Lewis mwishoni aliambiwa akimbize sana na timu yake na hakuelewa kwanini na wakamwambia watamueleza kwanini badae...Kumbe tairi lake lilikuwa na upepo kidogo 0.3 psi chini ya sheria za mashindano...Timu ya Hamilton walikuwa wanataka akimbize ili wakipigwa faini awe ndani ya muda mzuri...Bofya hapa update habari zaidi.